Universities Abroad Representative > News > UAR News > A-Z : Zaidi ya wanafunzi 30 chini ya Ufadhili wa Universities Abroad Representative (UAR) wameondoka nchini kuelekea CHINA kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu.
Mkurugenzi taasisi ya Universities Abroad Representatives Mr. Tony Kabetha akitoa nasaha zake mbele ya Wanafunzi waliojumuika na Wazazi wao.Mkurugenzi taasisi ya Universities Abroad Representatives Mr. Tony Kabetha akitsalimiana na moja ya Wageni wa tukio hili.Mkurugenzi taasisi ya Universities Abroad Representatives Mr. Tony Kabetha katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya Wanafunzi wakiwa na Wazazi wao.