UNIVERSITIES ABROAD REPRESENTATIVES(UAR) inakuletea fursa ya kusoma MBBS Nchini China.
KOZI: Medicine & Surgery in China 🇨🇳
GHARAMA: Sawa na Bei za hapa nchini Tanzania /chini ya hapo.
MWISHO: 30 September 2019.
_______________________________________________________________________________
Aidha UAR kupitia MKurugenzi wake kwa upande wa Tanzania ndugu Tonny Kabetha amesema kuwa UAR itakushauri nini ukasome Kwa kupitia Wataalam Wetu waliosoma na kuishi nje pia kupitia Wataalam waliotafiti nje na ndani ya Nchi . Ameongeza kwa kusema kwamba
Sisi siyo Link(kiunganishi) wanaokuunganisha na vyuo tu ,bali sisi ni wawakilishi wa vyuo hivyo hapa nchini Tanzania.
Pamoja na hayo UAR tutakupeleka;-
- Nchi iliyo bora kwenye Taaluma hiyo Unayotamani kuisomea
- kwenye vyuo vinavyotoa Scholarships kupitia sisi pekee
- Utapata Admissions Papo Kwa papo
- Tutakupa Bima ya maisha
- Tunawatembelea na kutoa ripoti ya maendeleo Kwa wazazi wako.